منتديات إنما المؤمنون إخوة (2024 - 2010) The Believers Are Brothers

(إسلامي.. ثقافي.. اجتماعي.. إعلامي.. علمي.. تاريخي.. دعوي.. تربوي.. طبي.. رياضي.. أدبي..)
 
الرئيسيةالأحداثأحدث الصورالتسجيل
(وما من كاتب إلا سيبلى ** ويبقى الدهر ما كتبت يداه) (فلا تكتب بكفك غير شيء ** يسرك في القيامة أن تراه)

soon after IZHAR UL-HAQ (Truth Revealed) By: Rahmatullah Kairanvi
قال الفيلسوف توماس كارليل في كتابه الأبطال عن رسول الله -صلى الله عليه وسلم-: "لقد أصبح من أكبر العار على أي فرد مُتمدين من أبناء هذا العصر؛ أن يُصْغِي إلى ما يظن من أنَّ دِينَ الإسلام كَذِبٌ، وأنَّ مُحَمَّداً -صلى الله عليه وسلم- خَدَّاعٌ مُزُوِّرٌ، وآنَ لنا أنْ نُحارب ما يُشَاعُ من مثل هذه الأقوال السَّخيفة المُخْجِلَةِ؛ فإنَّ الرِّسَالة التي أدَّاهَا ذلك الرَّسُولُ ما زالت السِّراج المُنير مُدَّةَ اثني عشر قرناً، لنحو مائتي مليون من الناس أمثالنا، خلقهم اللهُ الذي خلقنا، (وقت كتابة الفيلسوف توماس كارليل لهذا الكتاب)، إقرأ بقية كتاب الفيلسوف توماس كارليل عن سيدنا محمد -صلى الله عليه وسلم-، على هذا الرابط: محمد بن عبد الله -صلى الله عليه وسلم-.

يقول المستشرق الإسباني جان ليك في كتاب (العرب): "لا يمكن أن توصف حياة محمد بأحسن مما وصفها الله بقوله: (وَمَا أَرْسَلْنَاكَ إِلَّا رَحْمَةً لِّلْعَالَمِين) فكان محمدٌ رحمة حقيقية، وإني أصلي عليه بلهفة وشوق".
فَضَّلَ اللهُ مِصْرَ على سائر البُلدان، كما فَضَّلَ بعض الناس على بعض والأيام والليالي بعضها على بعض، والفضلُ على ضربين: في دِينٍ أو دُنْيَا، أو فيهما جميعاً، وقد فَضَّلَ اللهُ مِصْرَ وشَهِدَ لها في كتابهِ بالكَرَمِ وعِظَم المَنزلة وذَكَرَهَا باسمها وخَصَّهَا دُونَ غيرها، وكَرَّرَ ذِكْرَهَا، وأبَانَ فضلها في آياتٍ تُتْلَى من القرآن العظيم.
(وما من كاتب إلا سيبلى ** ويبقى الدهر ما كتبت يداه) (فلا تكتب بكفك غير شيء ** يسرك في القيامة أن تراه)

المهندس حسن فتحي فيلسوف العمارة ومهندس الفقراء: هو معماري مصري بارز، من مواليد مدينة الأسكندرية، وتخرَّجَ من المُهندس خانة بجامعة فؤاد الأول، اشْتُهِرَ بطرازهِ المعماري الفريد الذي استمَدَّ مَصَادِرَهُ مِنَ العِمَارَةِ الريفية النوبية المَبنية بالطوب اللبن، ومن البيوت والقصور بالقاهرة القديمة في العصرين المملوكي والعُثماني.
رُبَّ ضَارَّةٍ نَافِعَةٍ.. فوائدُ فيروس كورونا غير المتوقعة للبشرية أنَّه لم يكن يَخطرُ على بال أحَدِنَا منذ أن ظهر وباء فيروس كورونا المُستجد، أنْ يكونَ لهذه الجائحة فوائدُ وإيجابيات ملموسة أفادَت كوكب الأرض.. فكيف حدث ذلك؟!...
تخليص الإبريز في تلخيص باريز: هو الكتاب الذي ألّفَهُ الشيخ "رفاعة رافع الطهطاوي" رائد التنوير في العصر الحديث كما يُلَقَّب، ويُمَثِّلُ هذا الكتاب علامة بارزة من علامات التاريخ الثقافي المصري والعربي الحديث.
الشيخ علي الجرجاوي (رحمه الله) قَامَ برحلةٍ إلى اليابان العام 1906م لحُضُورِ مؤتمر الأديان بطوكيو، الذي دعا إليه الإمبراطور الياباني عُلَمَاءَ الأديان لعرض عقائد دينهم على الشعب الياباني، وقد أنفق على رحلته الشَّاقَّةِ من مَالِهِ الخاص، وكان رُكُوبُ البحر وسيلته؛ مِمَّا أتَاحَ لَهُ مُشَاهَدَةَ العَدِيدِ مِنَ المُدُنِ السَّاحِلِيَّةِ في أنحاء العالم، ويُعَدُّ أوَّلَ دَاعِيَةٍ للإسلام في بلاد اليابان في العصر الحديث.


 

 51 - ADH-DHAARIYAAT

اذهب الى الأسفل 
كاتب الموضوعرسالة
أحمد محمد لبن Ahmad.M.Lbn
مؤسس ومدير المنتدى
أحمد محمد لبن Ahmad.M.Lbn


عدد المساهمات : 49101
العمر : 72

51 - ADH-DHAARIYAAT Empty
مُساهمةموضوع: 51 - ADH-DHAARIYAAT   51 - ADH-DHAARIYAAT Emptyالخميس 18 أكتوبر 2018, 4:43 pm

51 - ADH-DHAARIYAAT
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. 
1. Naapa kwa pepo zinazo tawanya, 
2. Na zinazo beba mizigo, 
3. Na zinazo kwenda kwa wepesi. 
4. Na zinazo gawanya kwa amri, 
5. Hakika mnayo ahidiwa bila ya shaka ni kweli, 
6. Na kwa hakika malipo bila ya shaka yatatokea. 
7. Naapa kwa mbingu zenye njia, 
8. Hakika nyinyi bila ya shaka mmo katika kauli inayo khitalifiana. 
9. Anageuzwa kutokana na haki mwenye kugeuzwa. 
10. Wazushi wameangamizwa. 
11. Ambao wameghafilika katika ujinga. 
12. Wanauliza: Ni lini hiyo siku ya malipo? 
13. Hiyo ni siku watakayo adhibiwa Motoni. 
14. Onjeni adhabu yenu! Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyahimiza. 
15. Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem. 
16. Wanapokea aliyo wapa Mola wao Mlezi. Kwa hakika hao walikuwa kabla ya haya wakifanya mema. 
17. Walikuwa wakilala kidogo tu usiku. 
18. Na kabla ya alfajiri wakiomba maghfira. 
19. Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba. 
20. Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini. 
21. Na pia katika nafsi zenu - Je! Hamwoni? 
22. Na katika mbingu ziko riziki zenu na mliyo ahidiwa. 
23. Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, hakika haya ni kweli kama ilivyo kweli kuwa nyinyi mnasema. 
24. Je! Imekufikia hadithi ya wageni wa Ibrahim wanao hishimiwa? 
25. Walipo ingia kwake wakasema: Salama! Na yeye akasema: Salama! Nyinyi ni watu nisio kujueni. 
26. Akenda kwa ahali yake na akaja na ndama aliye nona. 
27. Akawakaribisha, akasema: Mbona hamli? 
28. Akahisi kuwaogopa katika nafsi yake. Wakasema: Usiwe na khofu, nao wakambashiria kupata kijana mwenye ilimu. 
29. Ndipo mkewe akawaelekea, na huku anasema na akijipiga usoni kwa mastaajabu, na kusema: Mimi ni kikongwe na tasa! 
30. Wakasema: Ndivyo vivyo hivyo alivyo sema Mola wako Mlezi. Hakika Yeye ni Mwenye hikima na Mwenye kujua. 
31. AKASEMA: Basi ujumbe wenu ni nini, enyi mlio tumwa? 
32. Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwa watu wakosefu, 
33. Tuwatupie mawe ya udongo, 
34. Yaliyo tiwa alama kutoka kwa Mola wako Mlezi kwa ajili ya wanao pindukia mipaka. 
35. Kwa hivyo tutawatoa katika hao wale walio amini. 
36. Lakini hatukupata humo ila nyumba moja tu yenye Waislamu! 
37. Na tukaacha humo Ishara kwa ajili ya wanao iogopa adhabu chungu. 
38. Na katika khabari za Musa, tulipo mtuma kwa Firauni na hoja wazi. 
39. Lakini alipuuza kwa sababu ya nguvu zake na akasema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu! 
40. Basi tukamkamata yeye na majeshi yake na tukawatupa baharini, na yeye ndiye wa kulaumiwa. 
41. Na katika khabari za A'di tulipo wapelekea upepo wa kukata uzazi. 
42. Haukuacha chochote ulicho kifikia ila ulikifanya kama kilio nyambuka. 
43. Na katika khabari za Thamudi walipo ambiwa: Jifurahisheni kwa muda mdogo tu. 
44. Wakaasi amri ya Mola wao Mlezi. Basi uliwanyakua moto wa radi nao wanaona. 
45. Basi hawakuweza kusimama wala hawakuwa wenye kujitetea. 
46. Na kaumu ya Nuhu hapo mbele. Hakika hao walikuwa watu wapotovu. 
47. Na mbingu tumezifanya kwa nguvu na uwezo na hakika Sisi bila ya shaka ndio twenye uwezo wa kuzitanua. 
48. Na ardhi tumeitandaza; basi watandazaji wazuri namna gani Sisi! 
49. Na katika kila kitu tumeumba kwa jozi ili mzingatie. 
50. Basi kimbilieni kwa Mwenyezi Mungu, hakika mimi ni mwonyaji kwenu wa kubainisha nitokae kwake. 


51 - ADH-DHAARIYAAT 2013_110
الرجوع الى أعلى الصفحة اذهب الى الأسفل
https://almomenoon1.0wn0.com/
أحمد محمد لبن Ahmad.M.Lbn
مؤسس ومدير المنتدى
أحمد محمد لبن Ahmad.M.Lbn


عدد المساهمات : 49101
العمر : 72

51 - ADH-DHAARIYAAT Empty
مُساهمةموضوع: رد: 51 - ADH-DHAARIYAAT   51 - ADH-DHAARIYAAT Emptyالخميس 18 أكتوبر 2018, 4:44 pm

51. Wala msifanye kuwa kuna mungu mwengine pamoja na Mwenyezi Mungu. Hakika mimi ni mwonyaji kwenu wa kubainisha nitokae kwake. 
52. Basi ndio hivyo hivyo, hakuwajia kabla yao Mtume ila walisema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu. 
53. Je! Wameambizana kwa haya? Bali hawa ni watu waasi. 
54. Basi waachilie mbali, nawe hulaumiwi. 
55. Na kumbusha, kwani ukumbusho huwafaa Waumini. 
56. Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi. 
57. Na sitaki kwao riziki, wala sitaki wanilishe. 
58. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kuruzuku, Mwenye nguvu, Madhubuti. 
59. Hakika walio dhulumu wana fungu lao la adhabu kama fungu la wenzao. Basi wasinihimize. 
60. Ole wao walio ikanusha siku yao waliyo ahidiwa. 


51 - ADH-DHAARIYAAT 2013_110
الرجوع الى أعلى الصفحة اذهب الى الأسفل
https://almomenoon1.0wn0.com/
 
51 - ADH-DHAARIYAAT
الرجوع الى أعلى الصفحة 
صفحة 1 من اصل 1

صلاحيات هذا المنتدى:لاتستطيع الرد على المواضيع في هذا المنتدى
منتديات إنما المؤمنون إخوة (2024 - 2010) The Believers Are Brothers :: (English) :: The Holy Quran is translated :: Swahili-
انتقل الى: